Header ads

Header ads
» » Mchezaji wa Chile afungiwa kucheza kwenye mashindano ya Copa America baada ya kufanya kitendo cha aibu Uwanjani


 Mchezaji wa Chile azuwa gumzo kwa kitendo cha aibu

Mchezaji wa Chile Gonzalo Jara, aligonga vichwa vya habari baada ya kumgusa makalio mshambuliaji wa Uruguay Edison Cavani katika mechi ya robo fainali.

Uongozi wa Copa America umechukuwa uamuzi wa kumfungia Gonzalo Jara kucheza mechi za Copa America kutokana na kitendo hicho cha aibu.
Jara pokes Cavani in his bottom
Nyota wa Uruguay Edison Cavani alipandwa na midadi na kumfokea refa baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu licha ya kufanyiwa uhuni na Jara.
Cavani is sent-off in the Copa America defeat to Chile
Licha ya wenyeji wa maandalizi wa mashindano hayo Chile kufuzu katika hatua ya nusu fainali, watakosa huduma ya Gonzalo Jara aliyepewa adhabu na uongozi wa Copa America.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post