Header ads

Header ads
» » Marekani yapitisha sheria ya ndoa za Jinsia Moja, Hizi ni Tweet za Mastaa wakubwa kuhusu Kupitishwa kwa sheria Hii..

Jana Rais wa Marekani Barack Obama amepitisha sheria ya ndoa za jinsia moja, hii imeambatana na hahtag ambayo jana imekuwa trending kwenye mtandao wa twitter! #Lovewins ni hashtag ambayo imetumika na mstaa wengi wakubwa Duniani.



Hizi ni Tweet za Mastaa mbalimbali walionyesha kuunga mkono kampeni hii ya #lovewins.







Kim kardashian pia ameandika katika mtandao wa instagram "#lovewinswhat amaizing day for equality, Proud to be an American" .

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
January Makamba: Sigombea Kupambambana na Mtu bali Kupambana na Matatizo ya watanzania
»
Previous
Majibu ya Prof Mwandosya kwa Zitto