Header ads

Header ads
» » » Eto’o aanzisha mradi wa "Yellow Whistle Blower FC" ili kuwasaidia wahanga wa Boko Haram

Eto'o kuwasaidia wahanga wa Boko Haram

Mchezaji wa kimataifa wa timu ya soka ya Cameron amefahamisha Ijumaa jijini Paris kuanzisha mradi wa kukusanya pesa katika mradi wa "Yellow Whistle Blower FC" ili kuwasaidia wahanga waw a wanamgambo wa Boko Haram wanaopatikana kaskazini mwa Cameron.
Jina la mradi huo ambalo lina maana ya filimbi ya njano, linaashiria onyo na ilani dhidi ya unyanyasaji na kutokanana hali tete.
Lengo la mradi huo ni kukusanya pesa ambazo yatapewa mashirika yasiokuwa ya kiserikali ambayo husaidia watu waliohama makazi yao kutokana na mashambulizi ya wanamgambo wa Boko Haram.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Aliyecheza filamu maarufu ulimwenguni ya Titanic Afariki Dunia
»
Previous
Alikiba awaomba mashabiki waacha na hizi timu za mtandaoni