Header ads

Header ads
» » Alikiba awaomba mashabiki waacha na hizi timu za mtandaoni

Msanii alikiba ambae hivi majuzi kwenye tuzo za KTMA aliibuka shujaa kwa kutwaa tuzo 6 wakati akihojiwa na chombo kimoja cha habari mapema Jana alisema

Hafurahishwi kabisa na hizi team zilizopo mtandaon kwa mashabiki wanaojiita #TeamKiba & #TeamDiamond kwani anaamini ndio zinazochochea kuonekana kati Yao wawili wana ugomvi

"Lakini ukweli ni kwamba sina ugomvi na msanii mwenzangu (diamond plutnumz) alisema Alikiba

Mbali na hapo pia mkali alikiba alichukua time yake pia kuwashauri na kuwaomba mashabiki waachane na haya mambo ya Team Team mtandaoni hasa (Instagram &Facebook) kwani ndio pekee inayoonyesha kuwa wasanii hao wapo kwenye ugomvi mkubwa lakini kumbe ni tofauti

Kiba pia aliongezea kwa kusema wao ni vioo vya jamii wanapendwa na watu wengi sana asingependa kuona mambo mabaya kati Yao yanaendelea

" kiukweli sifurahishwi na timu hizi na ni naona kinachoendelea lakini siwezi kufanya lolote kuwaingilia mashabiki ninachowashauri ni waache tu" alisema Kiba

Kwa habari nyingi nyingne endelea kubaki hapa hapa utazipata ,lakini pia mshirikishe na mwenzako azione zote hizi
.......Ahsante.....

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Eto’o aanzisha mradi wa "Yellow Whistle Blower FC" ili kuwasaidia wahanga wa Boko Haram
»
Previous
NECTA yatoa Ratiba ya Mtihani wa Kidato cha NNE 2015 | Nimekuwekea hapa