Header ads

Header ads
» » HIVI NDIVYO KOCHA WA SIMBA ALIVYOTIMULIWA TAZAMA PICHA


Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kwenye Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana jioni wakati akitoa taarifa ya kumfuta kazi kocha aliyekuwa akiinoa timu hiyo,Zdravko Logarusic 'Loga' (hayupo pichani). Wengine pichani ni Wajumbe wa Kamati ya Utendaji wa Simba, Collin Frisch na Saidi Tully.

Mjumbe wa Kamati ya Utendaji wa Klabu ya Simba, Collin Frisch (kulia), akimsindikiza kwenda kupanda gari kocha wa timu hiyo Zdravko Logarusic 'Loga', wakati wakitoka katika Hoteli ya Serena Dar es Salaam jana jioni, baada ya kutimuliwa kuifundisha timu hiyo. Kocha huyo alikuwa na mkataba wa mwaka mmoja wa kuifundisha timu hiyo.

Kocha akiondoka huku akiwa aamini kilichomtokea. 
HAPANA CHEZEA FASHENI WEWE: JB BONGE LA BWANA NA SWAGGGA ZA KISHAROBARO AZUA GUMZO! BOFYA  HAPA!
Gari namba T 853 BGS alilotumia kocha huyo wakati akiondoka katika hoteli hiyo baada ya kutimuliwa.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post