Header ads

Header ads
» » Mark Zuckerberg anunua nyumba 4 kwa ajili ya kuzibomoa na kujenga upya


Mkurugenzi mkuu wa Facebook Mark Zuckerberg amenunua nyumba 4 kwa ajili ya kuzibomoa na kujenga upya katika eneo la Palo Alto lililoko mjini California.
Zuckerberg alinunua nyumba hizo 4 kwa bei ya fedha dola milioni 30.
 Above, a view of the four properties surrounding Zuckerberg that he has purchased  and plans to demolish 
Hizo rangi nyekundu ndizo nyumba alizonunua  Zuckerberg
Ramani ya ujenzi wa nyumba mpya katika eneo lililokuwa na nyumba alizonunua Zuckerberg iliwasilishwa kwa idara ya mipango na mazingiria wiki iliyopita.
Nyumba hizo 4 alizonunua Zuckerberg, 2 ni za ghorofa moja na nyingine 2 ni za ghorofa mbili.
Kwa mujibu wa ramani hiyo, Zuckerberg atajenga nyumba 3 za ghorofa moja na nyingine 1 ya ghorofa mbili. 

Picha za Nyumba hizo: Picha na CNN website
zuckerberg houses rebuild 2

 Mark Zuckerberg paid $7 million for his Palo Alto home in 2011.  Median home price hovered around $1.225 million at the time. (Alain Pinel Realtors)
 Facebook CEO, Mark Zuckerberg Gets New House in California 4


Chanzo: Cnn.com

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post