Header ads

Header ads
» » Facebook na Microsoft kujenga Nyaya za mitandao baharini



Kampuni ya Facebook na Microsoft kushirikiana katika ujenzi wa nyaya za mitandao zitakazovuka bahari ya Atlantiki na kutoa huduma za mtandao kwa wateja wa Amerika ya Kaskazini na Ulaya Kusini.
AEC-OverviewMap
Mradi huo kutoka kampuni hizo kubwa umepangwa baada ya kuwepo kwa uongezekaji wa mahitaji ya huduma za mitandao katika kanda hizo mbili.
Mradi huo utaendeshwa kwa usaidizi wa kampuni ya mawasiliano ya Uhispania ya Telefonica. 

Chanzo: microsoft.com

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post