Header ads

Header ads
» » Kampuni ya teknolojia ya Huawei yaishtaki Samsung



Kampuni ya teknolojia ya Huawei inaishtaki Samsung kuhusu madai kwamba haki zake zimekiukwa.
Kampuni hiyo ya China imesema kuwa inaishtaki Samsung kupitia mahakama mbili moja ikiwa California na nyengine ikiwa Shenzhen.
Kulingana na Huawei,simu zake kadhaa pamoja na programu zake ilizobuni zimetumiwa katika simu za Samsung bila ruhusa yake.
 
Samsung imeambia BBC itatetea maslahi ya bishara zake.
Hatahivyo programu zinazodaiwa kuibwa na Samsung hazijatangazwa. 

Chanzo: BBC

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post