Baada ya mazungumzo kati ya Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam na Viongozi wa UKAWA, hatimaye jeshi la Polisi limekubali na kuruhusu maandamano ya mgombea Urais CHADEMA Mh. Lowassa yaanzie ofisi za CUF Buguruni kwenda Tume ya uchaguzi (NEC)
Mbunge wa Mbeya mjini mh. Joseph Mbilinyi akiwasili makao makuu ya CUF
Mwenyekiti wa NCCR- Mageuzi, mh. James Mbatia akiwasalia wafuasi wa UKAWA
Mwanasheria mkuu wa CHADEMA, Mh Tundu Lissu akiwasili