Header ads

Header ads
» » Muandishi wa habari Ahukumiwa miezi 6 jela kwa kosa la ushoga Senegal


Ahukumiwa miezi 6 jela kwa kosa la ushoga Senegal

Muandishi wa habari kutoka Senegal ahukumiwa kifungo cha miezi 6 jela baada ya kushtakiwa kosa la ushoga na ulevi.
Muandishi huyo wa habari ambae alitambulika kwa jina la Tamsir Jupiter Ndiaye alifahamisha kuwa tukio hilo ni mtengo ambao alitegewa baada ya kuamua ugomvi aliokuuta katika kituo kimoja cha mafuta na kumuokoa kijana mmoja na kumpa lifti.
Tamsir alikamatwa mwezi Juni tarehe 24 na kuhukimiwa Julai 21 jijini Dakar.
Tamsir aliwahi kogongo vichwa vya habari mwaka 2012 baada ya kuhukimiwa kwa kosa kama hilo na kumiliki silaha kinyume na sheria ambapo alijipatia msamaha uliotolewa na waziri wa sheria

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post