Header ads

Header ads
» » Binti wa Whitney Houston, Bobbi Kristina afariki dunia

Baada ya miezi sita kupita toka Mtoto wa Bobby Brown, Bobbi Kristina Brown kukutwa kadondoka bafuni hajitambui na kupelekwa hospitali kwa matibabu, taarifa za kifo chake zimetolewa Jumapili ya jana na familia yake. Bobbi Kristina kafariki na umri wa miaka 22 miaka mitatu baada ya kifo cha mama yake mwanamuziki Whitney Huston aliyefariki kwa matumizi ya dawa za kulevya. ‪#‎R‬.I.P

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post