
Diamond akiwa kwenye choo/bafu la ikulu yake kama anavyoiita. Dhahabu halisi zilizowekwa kwenye choo hicho zina thamani ya shilingi milioni 70
“In my 70Million Pure Gold plated toillet…pupping and Movies Lol!emoji..i can’t wait to play dirty game with her tonight emoji IN THE MAKING OF STATE HOUSE!!!.. I can’t wai for the State house to Be Done,” ameandika.
Staa huyo wa ‘Number One’ Jumapili hii aliamua kudhihirisha utajiri wake kwa kuonesha nyumba yake ya kifahari iliyopo Tegeta jijini Dar es Salaam. Nyumba hiyo anayoiita ‘state house’ na ambayo anasema ni yake 10 sasa, imepambwa kistaa.
Jiko
Katika picha nyingine, Diamond ameonesha gypsum kwenye chumba chake ambayo imeandikwa jina lake ‘Diamond Platnumz’.
“The view of my Custom made designer Gypsum Ceiling from my Bed,” ameandika.
Kwenye nyumba hiyo Diamond amesema kutakuwepo pia ukumbi wa kuchezea muziki, gym, studio, eneo la kuchezea darts na uwanja wa mpira wa kikapu.
“A year ago| Three weeks ago…. The Making of the State House!!!! My 10th House!..By the way Don’t get twisted, das jus a Pool area #Gym #Jaccuzi #Counter #DancingHall #Studio #DartsCourt #BasketballCourt Etc,” ameandika.
Home
»
MAISHA NA MAFANIKIO
» PICHA: TAZAMA NYUMBA YA 10 YA DIAMOND PLATINUMZ YENYE CHOO ZA DHAHABU,GYPSUM YA JINA LAKE, POOL , BAR YA MIL 70.
Topics: MAISHA NA MAFANIKIO
Imehaririwa na;- Unknown
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Kampuni moja ya Florida, Marekani imekuja na dhana ya kujenga meli ‘Freedom Ship’, itakayokuwa na uwezo wa kuwa na kila kitu ch...
-
Manispaa ya Paris imeanzisha utumizi wa mabasi yanayotumia umeme kusafirisha abiria kwa masafa mafupi. Usafirishaji kwa kutumia mabasi h...
-
Kuna taarifa kuwa chanzo cha kifo cha ghafla cha rapper Mangweir ni kuzidisha madawa ya kulevya aliyotumia usiku wa kuamkia leo. Inadaiwa ...
-
Wanamazingira barani Afrika wamezitaka serikali za nchi za Afrika kuwekeza zaidi kwenye miradi ya teknolojia ya nishati endelevu, ili ...
-
Miaka miwili baada ya India kuzindua Nirbheek,bunduki inayodaiwa kuwa ya kwanza ya wanawake,kiwanda cha kutengeza silaha cha taifa hi...
-
Mahakama moja ya Marekani imeamuru kampuni ya Apple kusaidia idara ya upelelezi ya FBI ili kufikia data za simu ya mshukiwa wa ugaid...
-
MfanyabiAshara ‘alwatani’ Bongo, mkazi wa jijini Dar, Allain Tajiri amekumbwa na skendo nzito baada ya kufumaniwa na mwanafunzi wa s...
-
KAMATI ya Taifa ya Matumizi Salama ya Bioteknolojia (NBC) imeridhishwa na matumizi ya Teknolojia ya Uhandisi Jeni (GMO) yenye len...
Data Boosta
Ungana nasi Facebook
PPF FUND