Header ads

Header ads
» » MFUNGWA AJARIBU KUTOROKA KUPITIA PAA LA MAHAKAMA!


DSC00660
Mwezi December 2014 kulikuwa na story ya mtuhumiwa mmoja kuuawa kwa kupigwa risasi wakati alipokuwa akijaribu kutoroka Mahakama ya Kisutu kwa kuruka ukuta wa Mahakama hiyo, story kutoka Kenya leo inafanana na hii.. inahusu mtuhumiwa mmoja kufanya jaribio la kutoroka kutoka Mahakama ya Machakos.
DSC00659
Mtuhumiwa huyo alijaribu kutoroka lakini askari wakampiga risasi mkononi na mguuni akiwa juu ya ukuta, majeraha hayo yalimfanya ashindwe kukimbia, akakamatwa.
DSC00661
DSC00664
Mahabusu huyo alifikishwa Mahakamani kwa kosa la kufanya vurugu baada ya kulewa na hukumu yake ilikuwa alipe faini ya Kshs 200, jaribio lake la kutoroka limefanya awe na kesi nyingine mpya kutokana na kufanya kosa hilo.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post