December
21 mwaka huu ndio ilikuwa siku ya harusi ya staa wa muziki Sir Elton
John pamoja na mumewe David Furnish ambapo walikaa zaidi ya miaka ya
tisa katika mahusiano na mwanaume huyo bila ya kufunga ndoa
Mastaa kibao walifanikiwa
kuhuthuria sharehe hiyo na wao walifurai na kufikia hatua ya kupost
picha zake kwenye mtandao wa Instagram na kuweka alama ya hashtag
#sharethelove.
Hizi ni baadhi ya picha zao katika sherehe hiyo enjoy