Header ads

Header ads
» » NDEGE NYINGINE YA MALYSIA YAPOTEZA MAWASILIANO IKIWA NA ABIRIA 295

Shirika la ndege ya Malaysia limethibitisha kupoteza mawasiliano na ndege yake namba MH17 iliyokuwa ikitokea Amsterdam, Uholanzi kuelekea Kuala Lumpur. Malaysia Airlines imethibitisha taarifa hizo kupitia akaunti yake rasmi ya twitter. Ndege hiyo ilikuwa imebeba watu 295. Taarifa kutoka Moscow zinasema ndege hiyo imepatikana ikiwa imeanguka na inawaka moto mashariki mwa Ukraine.

Photo: Shirika la ndege ya Malaysia limethibitisha kupoteza mawasiliano na ndege yake namba MH17 iliyokuwa ikitokea Amsterdam, Uholanzi kuelekea Kuala Lumpur. Malaysia Airlines imethibitisha taarifa hizo kupitia akaunti yake rasmi ya twitter. Ndege hiyo ilikuwa imebeba watu 295. Taarifa kutoka Moscow zinasema ndege hiyo imepatikana ikiwa imeanguka na inawaka moto mashariki mwa Ukraine.
 Vifaaa vinavyodaiwa kuitungua ndege iyo

 Shirika la ndege ya Malaysia limethibitisha kupoteza mawasiliano na ndege yake namba MH17 iliyokuwa ikitokea Amsterdam, Uholanzi kuelekea Kuala Lumpur. Malaysia Airlines imethibitisha taarifa hizo kupitia akaunti yake rasmi ya twitter. Ndege hiyo ilikuwa imebeba watu 295. Taarifa kutoka Moscow zinasema ndege hiyo imepatikana ikiwa imeanguka na inawaka moto mashariki mwa Ukraine

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post