Header ads

Header ads
» » TASWIRA WAKATI RAIS KIKWETE AKITUNUKU HATI IDHINI KWA VYUO NANE NCHINI

 


7- JK akiongea 
Rais  Dkt. Jakaya Kikwete.akiongea katika hafla hiyo leo kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar es Salam.
5- waziri shukuru kawambwa akiongea katika hafla Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa akitoa  taarifa yake wakati wa sherehe ya  kutunuku hati idhini kwa vyuo vikuu na vyuo vikuu vishiriki jijini leo ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Rais Jakaya Kikwete (hayupo pichani)
1-baadhi ya wadau wa elimu wakiwa katika hafla 2- wadau wakifuatilia
Baadhi ya wadau wa elimu walioshiriki katika hafla ya kutunuku hati idhini kwa vyuo vikuu na vyuo vikuu vishiriki wakiwa katika viwanja vya Ikulu leo jijini Dar es Salaam.
8- JK (kulia) akiongea na Kwambwa
Rais Jakaya Kikwete (kulia) akibadilishana na mawazo na Waziri wa Elimu na Ufundi Dkt, Shukuru Kawambwa wakati wa hafla ya kutunuku hati idhini kwa vyuo  vikuu na vyuo vikuu vishiriki leo jijini Dar es Salam
6- picha ya pamoja
Picha ya pamoja  ya Rais Jakaya Kikwete pamoja na watunukiwa wa hati idhini kwa vyuo vikuu na vyuo vikuu vishiliki.
BAHTISMA BLOG CHAGUO LA WATU.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post