Kampuni kubwa ya mtandao wa jamii wa Twitter, imetangaza mpango wake wa kuwatema wafanyakazi kadhaa ili kupunguza gharama za matumizi.
Mtandao wa Twitter ambao una wafanyakazi wapatao 4,100, umechukuwa uamuzi wa kuwafuta kazi asilimia 8 ambayo ni sawa na wafanyakazi 336.
Mkurugenzi wa Twitter Jack Dorsey alitoa maelezo na kusema kuarifu kuchukuwa uamuzi huo kutokana na kushuka kwa kiwango soko la hisa kwa asilimia 7.
Kwa kupunguza idadi ya wafanyakazi wake, kampuni hiyo inaamini kwamba itaweza kurudisha gharama na matumizi katika hali ya kawaida.
Mtandao wa Twitter ambao una wafanyakazi wapatao 4,100, umechukuwa uamuzi wa kuwafuta kazi asilimia 8 ambayo ni sawa na wafanyakazi 336.
Mkurugenzi wa Twitter Jack Dorsey alitoa maelezo na kusema kuarifu kuchukuwa uamuzi huo kutokana na kushuka kwa kiwango soko la hisa kwa asilimia 7.
Kwa kupunguza idadi ya wafanyakazi wake, kampuni hiyo inaamini kwamba itaweza kurudisha gharama na matumizi katika hali ya kawaida.