Akitangaza
matokeo hayo mjini Zanzibar leo, Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles
Msonde alisema mwaka huu idadi ya ufaulu ni asilimia 98.87
ikilinganishwa na asilimia 98.26.
Na Mwandishi Wetu, Mwananchi
Zanzibar. Baraza
la Mitihani nchini Necta leo limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato
cha sita na kusema kuwa umefaulu umeongezeka kwa asilimia 0.61.
Akitangaza
matokeo hayo mjini Zanzibar leo, Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles
Msonde alisema mwaka huu idadi ya ufaulu ni asilimia 98.87
ikilinganishwa na asilimia 98.26.
Dk
Msonde alisema jumla ya watahiniwa 38,853 wamefaulu mitihani hiyo kati
ya watahiniwa 40,753 waliofanya mitihani hiyo ya kumaliza kidato cha
sita. Aliongeza kuwa kuna watahiniwa 35 ambao walishindwa kufanya
mitihani yao baada ya kuugua ghafla. Dk Msonde aliongeza kuwa kati ya
waliofaulu, wasichana ni 11,734 na wavulana ni 27,119.
Topics: MATUKIO
Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Soma na Hizi
Matukio yaliyojili katika ulimwengu wa Teknolojioa Mwaka 2016
MWAKA 2016 umefika ukingoni, kwanizimesalia saa chache kabla ya kuingia 2017. Ahsante kwa...Read more »
31Dec2016TCRA imeziagiza kampuni za simu kutenganisha vifurushi
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeziagiza kampuni za simu kuanzisha vifurushi vinavyote...Read more »
02Oct2015Facebook na UN washirikiana kutoa huduma ya bure ya Internet kwa wakimbizi wa Syria
Facebook na UN yashirikiana kutoa huduma ya bure ya Internet katika k...Read more »
01Oct2015Instagram yaweka rekodi mpya kwa kufikisha idadi kubwa ya watumiaji
Instagram yaweka rekodi mpya kwa kufikisha idadi kubwa ya watumiaji milion...Read more »
01Oct2015Umoja wa Ulaya na China kushirikiana katika utafiti wa 5G
Umoja wa Ulaya unasema kuwa ushirikiano huu utaongezea vituo v...Read more »
01Oct2015shule zote za Serikali kufungwa nchini Kenya
Serikali yatoa agizo la kwa shule zote kufuatia mgomo wa walimu...Read more »
20Sep2015

Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Computer ina uwezo wa kufanya mambo ambayo binadamu...
-
Si wengi wetu wanaofahamu umuhimu wa kula samaki mara...
-
Mambo vipi Rafiki yangu? Kama wewe ni miongoni mwa...
-
Nabii Samwel Mahela wa Kanisa la...
-
The American Idol judge wore this eye popping red dress...
-
Kwa wale Rafiki zangu wa ma-gadgets and all...
-
Mambo vipi Rafiki zangu wasomaji wa Website hii, Siku...
Data Boosta
