Header ads

Header ads
» » Watu 4 wajeruhiwa kwa kuchomwa kisu katika soko lililopo kusini mwa China

4 wajeruhiwa kwa kuchomwa kisu sokoni China


Kwa mujibu wa polisi katika kitua cha microblog ,alimkamata mtu mwenye umri wa miaka 30, aliyehusika na kuwachoma kisu watu 4 katika soko lililopo mkoa wa Guangxi nchini China.
Maafisa wa polisi hawakutoa taarifa zaidi kuhusiana na tukio hilo,wakati uchunguzi kuhusu shambulio hilo unaendelea.
Kumekuwa na mfululizo wa mashambulizi hayo mara kwa mara ambapo imeweka wasiwasi kwa raia nchini China, ikiwa ni pamoja na mashambulizi katika kituo cha mafunzo mwezi Machi 2014 yaliyoua watu 31 katika mji wa Kunming.
Maafisa wa polisi wamedai kuwa makundi ya wanaotaka kugawa nchi ya China wamehusika na shambulizi hilo kutoka mji wa Xinjiang.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post