Header ads

Header ads
» » Upandikizaji wa Fuvu la kichwa umefanikishwa kwa mara ya kwanza nchini Marekani

 Upandikizaji wa fuvu la kichwa wafanikishwa  Marekani

Madaktari kutoka hospitali za MD Anderson na Hoston Methodist walishirikiana katika hatua hii muhimu katika sekta ya upandikizaji.
Kiongozi alieongoza kundi la madaktari katika shugjuli hiyo ya upandilizaji wa fuvu alifahamika kwa jina la Dr Michael Klebuc.
Jim Boysen mwenye umri wa miaka 55 alipimwa na kukutwa saratani katika ubongo mwaka 2006.
Jim Boysen alifanyiwa upandikizaji wa fuvu Mei 22 huku madaktari wakifahamisha kuwa Jim anapata nafuu na hali yake ni ya kuridhisha.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post