Header ads

Header ads
» » Mwanasiasa akemea rushwa ya ngono katika kampeni zake

 Mwanasiasa akemea rushwa ya ngono katika kampeni zake Tanzania

Mwanasiasa Asha Salum, anayegombea udiwani kwenye uchaguzi wa mwaka huu,amekemea vikali rushwa ya ngono katika kampeni zake jijijni  Dar Es Salaam.
Mwanasiasa huyo ni mgombea pekee wenye umri mdogo miaka 31 kutoka katika kata ya tegeta jimbo la kawe kwa miaka 20.
Nchi za Afrika Mashariki zimekuwa na wanawake wachache katika nafasi za uongozi tangu mwaka 1992 ulipoanzishwa mfumo wa vyama vingi.
Asha ametoa taarifa kwa shirika la habri la Reuters kuwa baadhi ya wanawake wamekuwa ni wepesi kutoa rushwa ya ngono kwa ajili ya kupata kazi au kupandishwa cheo kazini.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post