Header ads

Header ads
» » Michuano ya kombe la dunia la wanawake, inaendelea Canada

 Brazil v USA: FIFA Women's World Cup 2011 - Quarter Finals
Michuano ya kombe la dunia la wanawake,inaendelea huko canada katika miji tofauti tofauti.michuano hiyo ya kombe la dunia kwa wanawake liliendelea tena hapo jana kwa michezo miwili kupigwa
kati ya Norway .. waliopepetana na ... thailand
ujeruman.. ilioonesha kazi pwani ya samawati ,naizungumzia ivory coast
na matokeo yalikuwa hivi,Norway waliibuka na mtaji wa magoli manne huku Thailand wakikubali matokeo,na kutulia na yai.
kwa upande mwingingine kwenye mechi ya pili ujerumani walijizolea magoli yao mawili na kuwaacha Ivory coast mikono mitupu.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post