Header ads

Header ads
» » Kendrick lamar awasifu lil B & lil wayne

Kwa kawaida imekuwa ni vigumu sana kwa rapper kutokea kukubali kazi za rapper mwingine na kuzungumza kwenye jumuiya ya watu

Kendrick Lamar kwake haijawa ngumu baada ya kutamka hadharani kuwa anawakubali sana lil B % lil Wayne kwa sababu ni rappers ambao wamfanya mtu ajiskie kuwa kama wao

Kuanzi jinsi wanavyorap lakini pia na swagga wanazotoka nazo kwenye video zao ,na ni watu ambao pia amewafwatilia sana mpaka anatoka kwenye rapp

Kwa habari nyingi nyingine endelea kubaki humu humu pia mshirikishe na mwenzako hii ndio sehemu nzuri ya kuhabarika
.......Ahsante........

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
ATM za Maji zaanza Kutumika rasmi nchini Kenya
»
Previous
Navio kuachia ngoma pamoja na Mr Blue