asilimia 41 ya wanawake walio katika ndoa, hawana mahusiano mazuri baina yao na wakwe zao wa kike (mama wakwe)
Je unafahamu kuwa asilimia 41 ya
wanawake hawazungumzi na mama wakwe zao. Asilima 41 hawana mahusiano
mazuri na mama za wabwana zao. Hawazungumzi nao.
Utafiti unaonyesha kati ya wanawake 10, mmoja wao ana ugomvi na mama mkwe wake.
Utafiti uliofanywa na shirika la OnePoll
la Uingereza unaonyesha kuwa ugomvi mkubwa kati ya mama mkwe na wake za
vijana wao ni kutokana na usemi maarufu ” sisi zama zetu tulikuwa
tunafanya hivi au vile ” .
Wanawake hawataki kuambiwa zama zile au kukosolewa mara kwa mara.
Wanawake hawataki kuambiwa zama zile au kukosolewa mara kwa mara.
Utafiti huo pia unaonyesha kuwa nusu ya wanawake, washawalalamikia mabwana zao kuhusu kina mama zao, wazazi wa bwana wa kike.
Asilimia 15 ya wanawake wamewahi
kukosana , ndoa kuvunjika kutokana na ugomvi kati ya mkwe na mama
mkwe. Ugomvi mkubwa zaidi kati ya mke na mama mkwe kuhusu malezi ya
watoto, wajukuu.