Header ads

Header ads
» »Unlabelled » MO MUSIC KUACHIA MKWAJU MPYA J3


Baada ya ukimya wa muda mrefu hit maker wa ‘Basi Nenda’ Moshi “Mo-Music” Katemi anatarajia kuachia wimbo wake mpya alioupa jina la ‘Nitazoea’.
MO nitazoea
Wimbo huo ambao utakuwa ni single ya nne kwa msanii huyo kutoka jiji la miamba Mwanza utatoka Jumatatu April 13.
‘Nitazoea’ ni wimbo wa Mapenzi ambao umetayarishwa na ma-producer watatu ambao ni Aby Daddy, Lollipop na D-Classic.
video ya ‘Nitazoea’ itaanza kufanywa wiki ijayo na Adam Juma wa Next Level.
Nyimbo za Mo Music zilizopita kabla ya huu ni ‘Basi Nenda’ ambayo ilifanya vizuri kila kona ya nchi, na kufuatiwa na ‘Simama’ pamoja na Almasi ambazo zilitoka kwa pamoja mwishoni mwa mwaka jana.

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post