Pia aliisaidia Ivory Coast kufuzu kucheza Kombe la Mataifa ya Afrika 2015.
Toure alipambana na mshambuliaji kutoka Gabon Pierre-Emerick Aubameyang na kipa wa Nigeria Vincent Enyeama.
Toure pia alitajwa kuwania tuzo ya Ballon D'Or Oktoba mwaka 2014.
Mshambuliaji wa Everton Samuel Eto'o ni mchezaji mwingine pekee kuwahi kushinda tuzo ya CAF ya mchezaji bora Afrika mara nne, ingawa sio mfululizo.