Header ads

Header ads
» » MWANAFUNZI CHUO CHA UVUVI MBEGANI AFA MAJI



Mwanafunzi mmoja aliyetambulika kwa jina la ISAKA SHABAN ALI umuri haujafamika mwanafunzi wa mwaka wa kwanza kozi ya Uhongozaji wa vyombo vya Majini (MASTER FISHERMAN), wa chuo cha Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA) Mbegani campas amekufa maji wakati akiogelea katika Bahari ya Hindi.   Tukio  hilo lilitokea jana, majira ya saa 11 jioni wakiwa katika fukwe ya Mbegani Bagamoyo.

Kwa mujibu wa shuhuda waliokuwa eneo la tukio walidai, Isaka alifika na wenzake katika fukwe hiyo kwa lengo la kufanya mazoezi.

Ndipo wakati wakiogelea alizidiwa na maji na kuzama kwaa kunywa maji mengi ndipo wenzake walifanikiwa kumtoa majini lakini hali yake tayali ilikuwa mbaya

Na kukimbizwa kituo cha Afya katika Hospitali ya wilaya Bagamoyo.

lakini jitiada za kuokoa Maisha yake zilishindikana.
 
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAALI PEMA PEPONI AMEN

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post