Header ads

Header ads
» » » REEBOK WAMPA KIBUTI RICKY ROSS



Rick Ross apata fundisho juu ya ubakaji na pesa....ukikumbatia kimoja unakosa kingine...kwasababu sasa hivi Reebok wamemtema Ricky Ross

kama unakumbuka niliripoti wiki moja iliyopita kuhusu majaribu aliyoyapata Ross kutokana na wimbo wake U.O.E.N.O, ambao kwa furaha zote amesikika akisema "Put Molly [Ecstasy] all in the champagne.  She ain't even know it.  I took her home and I enjoy that.  She ain't even know it."  Tafsiri yake -- ubakaji. ingia hapa kama ulikosa kusoma
 http://djfetty.blogspot.com/2013/04/yaliyomkuta-bonta-yamemkuta-ricky-ross.html

Reebok imezungumza na TMZ na kusema...."Reebok inashikilia washirika wetu kwa hali na dhamani ya juu, na sisi tuntarajia wao kuishi kwa mujibu wa maadili ya bidhaa zetu. Kwa bahati mbaya, Rick Ross ameshindwa kufanya hivyo. '
Reebok waliendelea na kusema: wakati hatuamini kama Rick Ross anasapoti ubakaji au unyanyasaji wa kijinsia, tumesikitishwa sana kwa kushindwa kuonyesha uelewa wa uzito wa hilo jambo au kusikitishwa ama kujirudi juu ya hilo jambo"
inaswezekana presha walioipata Reebok kutoka kwenye mitandao mbali mbali ikiwa ni pamoja na grupu la wanawake zaidi ya 150 wahanga wa ubakaji walipoandamana kuelekea kwenye ofisi zao nakudai kumtema Ross kama muwakilishi wao kwasababu anasapoti ubakaji




 ROSS AKIWA NA REEBOK




Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post