Header ads

Header ads
» » » Pro 9.7 iPad Bora Unayoweza Kununua kwa Mwaka 2016


kampuni ya apple ilizindua vifaa vyake ikiwemo iPhone SE pamoja na iPad Pro 9.7 kwa mojibu wa majarida mbalimbali iPad Pro 9.7 ni nzuri na inauwezo wa kukaa na chaji muda mrefu pia kioo chake chenye inch 9.7 kinakamilisha ubora wa iPad hiyo mpya pia iPad hiyo inakuja na keyboard inayokuwezesha kutumia iPad hiyo kama laptop.
Pia iPad pro 9.7 inauzwa kwa bei kubwa kidogo kwa tanzania japo sio sana lakini pia ipad pro inakuja na iOS mpya ya 9.3 ambayo itakuwezesha kupata mtazamo mpya wa Vifaa vya Apple.
SIFA ZA iPAD PRO 9.7 Processor: Dual-core 2.16 GHz Twister Display: 9.7 inches (~71.6% screen-to-body ratio)LED-backlit IPS LCD, capacitive touchscreen, 16M colors Operating system: iOS 9.3 RAM: 2 GB RAM Storage: 32/128/256 GB internal No microSD expansion card slot Water resistance: No Connectivity: 4G, 3G, 2G Apple Pay (Visa, MasterCard, AMEX certified) Battery: Non-removable Li-Po 1642 mAh battery Stand-by Up to 240 h (2G) / Up to 240 h (3G) Dimensions: 240 x 169.5 x 6.1 mm (9.45 x 6.67 x 0.24 in) 437 g (Wi-Fi) / 444 g (LTE) (15.66 oz)

Chanzo: Pcmag.com

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post