Header ads

Header ads
» » » Meli kubwa zaidi ya abiria duniani yaanza kufanyiwa majaribio baharini


Meli kubwa zaidi ya abiria duniani iliyoundwa katika karakana ya Saint-Nazaire kusini mwa Ufaransa, imeanza kufanyiwa majaribio baharini.
Meli hiyo inayotambulika kwa jina la "Harmony of the Seas'', itasafiri baharini kwa siku tatu chini ya ulinzi.
Meli hiyo ambayo ina urefu wa mita 362, upana wa mita 66, na urefu wa mita 70, ina uwezo wa kubeba abiria 8,000.
Meli hiyo yenye uzito wa tani 227,000 pia inasemekana kuwa na madaraja 16 yaliyojengwa ndani yake.
Katika kipindi cha msafara wa majaribio, meli hiyo itahudumiwa na wataalamu zaidi ya 2,000.
Abiria wanaotaka kusafiria meli hiyo, watalazimika kununua tiketi zinazoanzia fedha Euro 400-1,200 kulingana na ubora wa sehemu kukaa.
Meli hiyo ambayo tayari imeshanunuliwa na shirika moja la Marekani, inatarajiwa kuanza rasmi safari za kibiashara tarehe 12 mwezi Mei katika bahari ya Mediterania.

Tazama Picha zaidi za Ndani na Nje ya Meli hiyo
This diagram of the ship gives an idea of its size and the number of areas onboard which passengers can visit and explore


For months, tourists have been allowed aboard to wonder at the luxury interiors of the ship that has 18 decks and stretches to 1,187 feet

There are several breathtaking promenades on the boat which allow passengers to further explore parts of the ship 

There are also two FlowRiders with simulated waves for surfing and two rock-climbing walls. There is ice-skating in the indoor rink, where you can hurtle round or cut a figure of eight

The ship features a state-of-the-art theatre with an award-winning Broadway-style productions and aerial acts

Guests can obtain membership which gives concierge access, complimentary continental breakfast, and evening drinks

 The ship features The Ultimate Abyss which flings thrill-seekers down 10 decks, at more than 150 feet above the waves, in one of a pair of tunnel slides which include scary noises and glimpses of the synchronised swimming and acrobatic diving in the AquaTheater

The ship features a sports court, suites, a youth zone, pool and waterpark as well as a gym and spa


CHANZO: dailymail.co.uk
MHARIRI: Abdallahmagana.com

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post