Abiria wanaarifiwa kwamba walitoa ripoti kwa polisi baada ya kuhisi harufu ya pombe kutoka kwa wahudumu wa ndege hiyo.
Polisi waliwasili kabla ya ndege hiyo kuruka na kuwazuia marubani pamoja na wahudumu wote waliofikishwa katika kituo cha polisi kwa ajili ya uchunguzi.
Msemaji wa shirika la ndege la Air Baltic alitoa maelezo na kutoa ahadi kwa abiria 109 ya kuwafikisha katika kisiwa cha Crete haraka iwezekanavyo.