Hama kweli ukistajabu ya Musa utaona ya Filaunu, SHIRIKA maarufu la Uchina, HAINAN
AIRLINE limeweka masharti kwamba mbali na elimu na uzoefu lazima usinuke. Ukiwa
mwili wako una harufu mbaya basi kazi huna. Ni China huko. Kwa mujibu wa gazeti
la SZ News shirika hilo katika kuajiri marubaNi wapya lazima mtu ananuswa
makwapa.Ukiwa unakikwapa, au makwapa yako yana harufu unanyimwa kazi. Kabla ya
kuajiriwa katika shirika hilo la ndege. Hatua ya kwanza ni kunuswa kwapa zako.
Wakuu wa shirika hilo wanajitetea wakisema, kwa vile marubani wanafanya kazi
karibu zaidi na watu basi ni lazima wasiwe na harufu ya kutisha kwani harufu
mbaya ya miili yao au makwapa huenda ikawapunguzia wateja.
Topics: DUNIA NA VISA
Imehaririwa na;- poatel Africa
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi jana jioni kwenye uwanja wa Mbegani, Bagamoyo Timu ya Yanga SC jana imekamilisha kujifua kwa m...
-
BEST TANZANIAN UNIVERSITIES 2015: Latest Rankings 23 February 2015. A list of best universities has just gotten out and the result i...
-
WATU wawili, Said Abdallah (37) na Ally Mwishee (44), wameuawa kwa kupigwa risasi na kufa papo hapo katika uwanja wa mpira wa miguu wa ...
-
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Ref. Na EA.7/96/01/H/41 ...
-
mabingwa hao watetezi wa ligi kuu ya Premia ya Uingereza walipokuwa wakikabiliana na Swansea jana usiku huku wakiwa na mchezaji mmo...
-
Kama ndo machine aliyo nunua safari hii basi katisha aisee maana hii ni one of the most expensive and luxury cars around na hela ya...
-
The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) is a Government Institution which is under the Ministry of Education and Vo...
-
He trusts lions enough to stick his arm in their mouth! Kevin leverages his ability to help prevent these...
-
JOB VACANCY Precision Air Services Plc is a fast growing private Tanzanian airline which operates in Partnership with Kenya Air...
-
Mshambuliaji matata wa Barcelona na kapteni wa Argentina Lionel Messi,...