Header ads

Header ads
» » KIKWETE AKABIDHIWA UWENYEKITI WA JUMUHIYA YA AFRIKA MASHARIKI


Marais Wa Afrika Mashariki Kutoka Kushoto Ni Mh.Pierre Ngurunzinza Wa Burundi,Mh.Jakaya Mrisho Kikwete Wa Tanzania, Mh.Uhuru Muigai Kenyatta Wa Kenya, Mh.Yoheri Museven Wa Uganda na Paul Kagame Wa Rwanda Leo Hii Jijini Nairobi

Rais Paul Kagame Na Hasimu Wake Rais Kikwete Na Mwenyeji Wa Rais Uhuru Wa Kenyatta Kabla ya kikao

Rais Wa Kenya Uhuru Muigai Kenyatta Akimkabidhi Rais Wa Tanzania Mh. Jakaya Mrisho Kikwete Uwenyekiti wa Jumuia ya Afrika mashariki Leo Hii Jijini Nairobi.
Mh.Uhuru Kenyatta akimpokea Mh Kikwete Jijini Nairobi



Rais Wa Kenya Uhuru Akimpokea Rais Wa Uganda Mh. Mseven 

Baadhi ya Marais Wa Jumuiaya ya Afrika Mashariki Wakiwa pamoja na makamu wa Rais wa Kenya Mh.Ruto Kabla ya Mkutano


Uhuru Kenyatta Akiwa Makini Kuskiliza Speech Mkutanoni.


Rais Uhuru Na Pierre Ngurunzinza Wakisalimiana


Rais Uhuru Kenyatta Wakisalimiana na Paul Kagame

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post