Baada ya kukaa kimya bila kutoa ngoma mpya Mkali wa Bongo Flava Q Chief
or Q Chilla jana amerelease ngoma yake mpya inaitwa "For You"
akiizungumzia ngoma hiyo Chilla amesema anatarajia ifike mbali sana kwa
kuvuka nje ya mipaka ya Afrika Mashariki, Afrika na Dunia nzima kwa
ujumla, kwa wakati huu Q Chia ame sign mkataba wa maisha na record label
ya QS inayomilikiwa na mtaalamu wa majengo maarufu anayeitwa Mhonda na
kabla ya ku deal na Q Chilla amewahi ku deal na wasanii wengi wa bongo
flava mfano ni Ney wa Mitego, QS wamepanga kumlipia Chilla Video yenye
gharama kubwa nchini Afrika Kusini chini ya director namba moja wa Music
Videos Africa "GODFATHER" na video itafanyika mwishoni mwa mwaka huu wa
2014 au mwanzoni mwa mwaka 2015 Stay tuned
Topics: AUDIO
Imehaririwa na;- poatel Africa
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
BEST TANZANIAN UNIVERSITIES 2015: Latest Rankings 23 February 2015. A list of best universities has just gotten out and the result i...
-
Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi jana jioni kwenye uwanja wa Mbegani, Bagamoyo Timu ya Yanga SC jana imekamilisha kujifua kwa m...
-
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Ref. Na EA.7/96/01/H/41 ...
-
WATU wawili, Said Abdallah (37) na Ally Mwishee (44), wameuawa kwa kupigwa risasi na kufa papo hapo katika uwanja wa mpira wa miguu wa ...
-
mabingwa hao watetezi wa ligi kuu ya Premia ya Uingereza walipokuwa wakikabiliana na Swansea jana usiku huku wakiwa na mchezaji mmo...
-
Kama ndo machine aliyo nunua safari hii basi katisha aisee maana hii ni one of the most expensive and luxury cars around na hela ya...
-
Jumuiya ya Afrika Mashariki inafanya mazungumzo kuhusu kupanua mtandao wa simu wa pamoja kwa nchi zote wanachama. Mkurugenzi mkuu wa m...
-
The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) is a Government Institution which is under the Ministry of Education and Vo...
-
He trusts lions enough to stick his arm in their mouth! Kevin leverages his ability to help prevent these...