Header ads

Header ads
» » WATU WAWILI WAFA MAJI WAKIBATIZWA ZIWA VICTORIA


Watu wawili wamefariki dunia baada ya kuzama ndani ya ziwa Victoria walipokuwa wanabatizwa na mchungaji Nehemia Upendo wa kanisa la POOL of SILOAM. Wakati wakiendelea na ubatizo wimbi likawapiga na kusababisha watu wawili kupoteza maisha

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post