Header ads

Header ads
» » NAWATAKIA HERI YA SIKUKU YA EID EL FITR


  
Nawatakia Waislamu wote na Watanzania kwa ujumla Heri na Fanaka katika kusherehekea Sikukuu ya IDD EL FITR.
Wakati tukisherehekea siku hii muhimu, napenda kuwaasa Watanzania  wote kushiriki kikamilifu kudumisha amani na kuishi vile Maandiko Matakatifu yanavyoelekeza.
Pia tunawaomba Waislamu wote tuyaendeleze yale matendo mema na mawaidha tuliyopata katika kipindi cha Mfungo Mtukufu wa Ramadhani.
                                           EID MUBARAK
             UNGANA NA FACEBOOK HAPA 

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post