Header ads

Header ads
» » AJALI YA HELKOPTA :MAGUFULI, BILAL, KOVA NA MKUU WA MKOA WA DAR WANUSURIKA. SOMA


Screen Shot 2014-04-13 at 1.55.22 PM
Viongozi mbalimbali akiwemo Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Gharib Bilal, Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Said Meck Sadick na kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova walianguka na Helikopta hii asubuhi ya April 13 2014 kwenye uwanja wa ndege Dar.
Hitilafu ilisababisha helikopta kuanguka wakati ikipaa kuwapeleka kwenye maeneo mbalimbali yaliyoathirika na mvua zinazoendelea kunyesha ambapo hata hivyo walinusurika kifo isipokua majeraha madogomadogo tu.
Screen Shot 2014-04-13 at 1.55.45 PM
Screen Shot 2014-04-13 at 1.55.53 PM
Screen Shot 2014-04-13 at 1.55.08 PM

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post