Header ads

Header ads
» » Nay wa Mitego kuachia wimbo mpya 'Nakula Ujana' tarehe 20




Hitmaker wa Salam Zao 'Nay wa Mitego' anatarajia kuachia wimbo mpya 'Nakula Ujana' kwania ya kuwaonyesha watu kwamba habahatishi kwenye game.

Akizungumza na tovuti hii alisema kumekuwa na maneno mengi sana kuhusu muziki wake kwamba huwa anabahatisha kila wimbo anaoufanya kwa hiyo basi tarehe 20 atadondosha kitu cha tofauti kwa mashabiki wa muziki wa Bongo Fleva.

'Kume kuwa na maneno mengi  kwamba mimi nabahatisha kwenye huu muziki sasa basi nataka niwahakikishie kwamba tarehe 20 nitaachia wimbo wangu mpya 'Nakula Ujana' ni wimbo wa tofauti kabisa  nadhani shabiki akiusikiliza atanielewa,mara nyingi sibahatishi kazi zangu'Alisema Nay wa Mitego

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post