Jengo la Bakwata lililopo kwenye makutano
ya Barabara ya Morogoro na Bibi Titi jijini Dar es Salaam, usiku wa
kuamkia juzi lilibolewa ghafla wakati mali za wapangaji zikiwemo ndani
na kusababisha hasara kubwa ya uharibifu na upotevu wa mali. Chanzo
kimoja cha habari eneo hilo kimedai kuwa Bakwata wamelibinafsisha jengo
hilo kwa mwekezaji kutoka nje ya nchi bila kuwashirikisha wapangaji
wake. Mwekezaji huyo ndiye anayedaiwa kutoa agizo la kubomoa jengo hilo
kabla ya notisi aliyoitoa kwa wapangaji hao kumalizika.
Topics: MATUKIO
Imehaririwa na;- poatel Africa
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
BEST TANZANIAN UNIVERSITIES 2015: Latest Rankings 23 February 2015. A list of best universities has just gotten out and the result i...
-
Wachezaji wa Yanga wakifanya mazoezi jana jioni kwenye uwanja wa Mbegani, Bagamoyo Timu ya Yanga SC jana imekamilisha kujifua kwa m...
-
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA Kumb. Ref. Na EA.7/96/01/H/41 ...
-
Kampuni moja ya Florida, Marekani imekuja na dhana ya kujenga meli ‘Freedom Ship’, itakayokuwa na uwezo wa kuwa na kila kitu ch...
-
Wanafunzi 7 wa kitivo cha uhandisi wa mashine cha chuo kikuu cha Uludag nchini Uturuki wamefanikiwa kuunda gari la kutumia nishati ya ...
-
Mamlaka ya mawasiliano nchini, TCRA imetoa tamko kuhusiana na malalamiko kutoka kwa watumiaji wa huduma za simu nchini kufuatia kuba...
-
Dunga was the captain of Brazil's 1994 World Cup-winning team and coached the national team from 2006 to 2011. &...
-
. . . . . . . . . . . . . . . . . . . ...
-
Kifo chake kimetokea siku chache baada ya Zambia kusherehekea miaka 50 ya uhuru wa nchi hiyo. Mwanasiasa huyo mkongwe aliingia madarak...
-
*Asema uamuzi wake haukushirikisha wizara nyingine *Adai wadau walipaswa kupewa muda zaidi, aonya rushwa WAZIRI Mkuu, Mizengo P...