Header ads

Header ads
» » HIVI NDIVYO NYUMBA YA BAKWATA YABOMOLEWA SOMA HABARI KAMILI HAPA


Jengo la Bakwata lilivyobomolewa.
Mmoja wa wapangaji akiokoa mali zake.
Sehemu ya mlango ambayo imevunjwa na wabomoaji ili waingie.
Ofisi zikiwa zimesambaratishwa wenyewe wakiwa hawapo.
Jengo la Bakwata lililopo kwenye makutano ya Barabara ya Morogoro na Bibi Titi jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia juzi lilibolewa ghafla wakati mali za wapangaji zikiwemo ndani na kusababisha hasara kubwa ya uharibifu na upotevu wa mali. Chanzo kimoja cha habari eneo hilo kimedai kuwa Bakwata wamelibinafsisha jengo hilo kwa mwekezaji kutoka nje ya nchi bila kuwashirikisha wapangaji wake. Mwekezaji huyo ndiye anayedaiwa kutoa agizo la kubomoa jengo hilo kabla ya notisi aliyoitoa kwa wapangaji hao kumalizika.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post