Header ads

Header ads
» » BIBI ALIYEDAIWA KUDONDOKA AKIWANGA YADAIWA WALIKUWA WATATU WENZAKE WAKAMUACHA. WALIKUWA WANAKWENDA KUWANGA!

NOMAAA


 
Wasamalia wema wakimuhoji kwa umakini bibi huyo muda mfupi baada ya kudondoka huko Chanika.

Wasamalia wema wakimpatia chakula kumnusuru na njaa bibi huyo ambae aligoma kutaja jina lake kwa madai kuwa kisheria hairuhusiwi.


Wananchi wakiwa wamekusanyika wakimshangaa bibi huyo.
Na Mwandishi Wetu Chanika
 
BIBI mmoja ambaye hakuweza kupatikana jina lake mara moja, jana majira ya saa mbili usiku maeneo ya Chanika, jijini Dar es Salaam alidaiwa kuanguka wakati akiwa katika harakati za kuwanga ambapo wakazi wa hapo walimkamata na kuanza kumhoji kwa maswali mbalimbali kama anavyoonekana pichani.
Hata hivyo mmoja wa mashuhuda wa tukio hilo alisema kuwa bibi huyo ambae awaili aligoma kuongea chochote kwa madai haruhusiwi kisheria lakini baadae baada ya watu kumtishia kumchoma moto ndipo alipofunguka mengi na kusema alikuwa na wenzake watatu ambao wamekimbia.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post