
“Naomba kuchukua nafasi hii kuomba radhi kwa yeyote aliyekwazika kwa
maneno machafu yaliyoandikwa kwa wall yangu, na pia naomba nieleweke
kwamba sihusiki na chochote kupost au kuandika chochote kuhusu kikwete
foundation na picha za jdee ukiwa naked, sina ugomvi na yeyote naheshimu
hisia za kila mtu nikiamini kila mtu ana maamuzi yake.. Aliyeamua
kutumia jina langu kufanya hayo najua sasa unajiskia vizuri baada ya
matusi mengi niliyotukanwa.. Maisha hayaishii hapa siku zinaenda na
ukwali utafahamika siku moja … Mchana mwema.”
“Mi namuachia Mungu … Ya duniani yatalipwa hapa hapa, anayetengeneza
mazingira haya kunichafua ni baraka zinaongezeka .. I keep on moving
sirusishwi nyuma na kauli zenu zilizojaa chuki, dharau maisha
Yanaendelea.
Kiukweli napata lawama nyingi matusi mengi bila kujua kosa langu..
Account yangu ni hii sina nyingine na sijui nn kimeendelea huko, kiroho
safi tu naomba mtu aniambie kuna nini wapi nijue ivi mtanilaumu bure
tu.. No hard feelings.”
Home
»
»Unlabelled
» HATIMAYE ADAM MCHOMVU AFUNGUKA KUHUSU KAULI YA KUMCHAFUA LADY JAYDEE FACEBOOK. SOMA ALICHOKISEMA HAPA
Topics:
Imehaririwa na;- poatel Africa
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
THE UNITED DEPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF HOME AFFAIRS EMPLOYMENT OPPORTUNITIES The Ministry of Home Affairs in clos...
-
Mambo vipi Rafiki yangu? Kama wewe ni miongoni mwa watu wanaopendelea kuweka Pattern kwenye simu zenu kwa usalama zaidi, Basi msijali...
-
BEST TANZANIAN UNIVERSITIES 2015: Latest Rankings 23 February 2015. A list of best universities has just gotten out and the result i...
-
The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) is a Government Institution which is under the Ministry of Education and Vo...
-
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwataarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 1...
-
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo kilichowekwa kanisani wakati wa mazishi ya kada mkongwe wa CCM Mzee...
-
Mwana wa Sokwe anaendelea vyema baada ya kuzaliwa kupitia upasuaji katika hali isiyo ya kawaida. Sokwe huyo anayetoka upande wa magha...
-
Ref. Na EA.7/96/01/H/ 66 07th August, 2015 VACANCIES ANNOUNCEMENT On behalf of Eastern Africa Statistical Training Centre ...
Data Boosta
Ungana nasi Facebook
PPF FUND