
Kampuni ya Facebook hivi karibuni imetangaza kuwa imefanikiwa kufanya
majaribio ya kwanza ya ndege isiyo na rubani iitwayo Aquila inayotumia
nishati ya jua.
Hivi sasa watu bilioni 4 hivi duniani bado
hawajaunganishwa na mtandao wa Internet. Mwaka 2014, kampuni hiyo
ilianzisha maabara ya uunganishaji, ambayo inalenga kutoa huduma ya
mtandao wa Internet kupitia ndege zisizo na rubani, satilaiti na mifumo ya mawasiliano ya simu
Tarehe 28 maabara hiyo ilifanya majaribio ya kwanza ya ndege ya Aquila
huko Arizona, Marekani. Kiunzi cha ndege hii kilitengenezwa kwa nyuzi za
kaboni, upana wa mabawa yake ni mkubwa kuliko ndege ya abiria ya Boeing
737, lakini uzito wake ni theluthi moja ya gari la nishati ya umeme.
Ndege hiyo inaweza kuruka angani kwa miezi mitatu mfululizo, lakini
inatumia nishati chache tu ambayo ni sawa na nishati inayotumiwa na
vyombo vitatu vya kukausha nywele au maikrowevu moja.
Kwa mujibu wa
mpango, ndege hiyo inaweza kuzunguka eneo lenye kipenyo cha kilomita 97,
na kutoa ishara ya mtandao wa Internet kutoka anga yenye urefu wa
kilomita 18 kwa mifumo ya mwangaza leza na mawimbi ya masafa ya
milimita.
Chanzo: technewstoday.com
Home
»
HABARI TECH
» Facebook yafanikiwa kufanya majaribio ya ndege isiyo na rubani inayotumia nishati ya jua
Topics: HABARI TECH
Imehaririwa na;- Unknown
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Matumizi mabaya ya simu ambayo yamekuwa yakifanywa na watoto wao kwa ajili ya kufanikisha michongo isiyo na tija, kampuni moja ya te...
-
Inawezekana labda umesha-wahi kuisikia au kuiona ila kwa faida ya wale ambao hawajawai kuiona wala kuisikia ni kwamba computer stick ni...
-
Teknolojia imetuondoa katika mazingira yaliyokuwa yakituzunguka na kutupeleka katika mazingira ambayo si halisi, tuna marafiki wengi w...
-
MATUKIO ya ukatili wa kutisha yanazidi kushika kasi kila kona ya nchi, safari hii h...
-
Mchezaji bora duniani wa soka Lionel Messi , ameteuliwa kuwa balozi wa kimataifa wa kuwakilisha kampuni ya Huawei . Msimamizi mkuu wa H...
-
Mkurugenzi mkuu wa Facebook Mark Zuckerberg amenunua nyumba 4 kwa ajili ya kuzibomoa na kujenga upya katika eneo la Palo Alto lililok...
-
Kampuni ya teknolojia ya Huawei inaishtaki Samsung kuhusu madai kwamba haki zake zimekiukwa. Kampuni hiyo ya China imesema kuwa inais...
-
Kijana wa miaka 10 aliyegundua mbinu ya kufuta maandishi Instagram azawadiwa dola 10,000 na FacebookMvulana mmoja kwa jina la Jani mwenye umri wa miaka 10 azawadiwa dola 10,000 na kampuni ya mtandao wa Facebook kwa kugundua jambo ka...
-
Kumb. Na EA.7/96/01/H/67 15 Septemba, 2015 Sekretariati ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo ambacho kimeundwa kwa mujibu wa S...
Data Boosta