Mbwa ambayo inafahamika kwa jina la Reina imemuokoa mtoto wa miaka miwili ambae alikuwa akisumbuliwa na utapi wa mlo katika mtaa wa Arica.
Taarifa hiyo imepatikana baada ya mmiliki wa mbwa huyo ambae alikuwa na mimba kumfautilia mbwa huyo.
Mmiliki wa mbwa huyo alihamisha kuwa alishangazwa alipomuaona mbwa wake akimnyoshe mtoto huyo na baadae kutoa taarifa katika kituo cha Polisi.
Mtoto huyo ambae ni wakiume alichukuliwa na kupelekwa katika shirika na misaada ya kiutu kwa wototo ili kuhudumiwa.
Chile imeshangazwa na kisa hicho cham toto kunyonyeshwa na mbwa.
Taarifa hiyo imepatikana baada ya mmiliki wa mbwa huyo ambae alikuwa na mimba kumfautilia mbwa huyo.
Mmiliki wa mbwa huyo alihamisha kuwa alishangazwa alipomuaona mbwa wake akimnyoshe mtoto huyo na baadae kutoa taarifa katika kituo cha Polisi.
Mtoto huyo ambae ni wakiume alichukuliwa na kupelekwa katika shirika na misaada ya kiutu kwa wototo ili kuhudumiwa.
Chile imeshangazwa na kisa hicho cham toto kunyonyeshwa na mbwa.