Repoti kutoka hospitali alikojifungulia binti huyo ziliarifu kuwa mtoto huyo alikuwa na uzito wa kilogramu 3.5 na alikuwa mwenya afya.
Binti huyo alijifungua mtoto wake wa kike kwa njia ya upasuaji.
Sheria za Paraguay zinaruhusu kutoa mimba ikiwa mimba itahatarisha maisha ya mama.Sheria hii ndio iliyozuia mahakama kumruhusu binti huyo kutoa mimba.
Kulingana na takwimu za Amerika kusini wasichana wa miaka 10-14 huwa waathiriwa wa ubakaji.
Binti huyo alijifungua mtoto wake wa kike kwa njia ya upasuaji.
Sheria za Paraguay zinaruhusu kutoa mimba ikiwa mimba itahatarisha maisha ya mama.Sheria hii ndio iliyozuia mahakama kumruhusu binti huyo kutoa mimba.
Kulingana na takwimu za Amerika kusini wasichana wa miaka 10-14 huwa waathiriwa wa ubakaji.
