Header ads

Header ads
» » Mwanafunzi amkata shingo mwenzake nchini Zimbabwe

 Shule za kumbwa na imani za kimashetani nchini Zimbabwe
Wazazi wa wanafunzi wa shule za nchini Zimbabwe wameingiwa na wasiwasi mkubwa, baada ya kuzaakwa imani za kishetani katika shule hususani za mabweni.
Wiki chache zilizopita, shule inayopatika Mashonaland imewaacha raia wa Zimbabwe vinywa wazi kwa kusikia kuwa mwalimu wa shule hiyo anahusika na kuamini imani za mashetani.
Kwa mujibu wa vyanzo vya habari, mwalimu alishtakiwa kwa kosa la kuabudu mashetani na kupelekea wanafunzi kukubwa na “mapepo machafu”.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na waandishi wa habari, wanafunzi 480 wa shule ya Zinatsa wametolewa shuleni na wazazi wao kwa kuwa wameathiriwa  na imani hizo.
Na pia shule ya Chideme na shule zilizoko katika Harare, zimeripotiwa kuathiriwa na imani hizo siku chache baadae.
Mwaka jana pia kulikuwa na mashtaka ya aina hiyohiyo katika shule ya wasichana ya Nhowe ambapo mwanafunzi alimkata shingo mwanafunzi mwenzake kwa kuamini imani za mashetani.

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post