Header ads

Header ads
» » Mariah Carey Mapenzini Na Billionare

Aliewahi kuwa mke halali wa mkali /msanii kutoka Marekani Nick canon baada ya kuvunjika kwa ndoa Yao Mariah Carey sasa inasemekena anatoka kimapenzi na billionare James Packer

James ambae kwa mujibu wa jarida la forbs nchini marekani ana utajiri wa doller billion $4.5 ,James ambae ni mmiliki wa hotel kubwa za kitalii na ma casino walionekana ijumaa hii June 19 kwenye moja kati ya hotel zake nchini italia

James ambae pia ni wanne  kwa utajiri duniani walionekana wakiwa wameshikana mikono na Mariah Carey (45) huku wakipigana na mabusu kimahaba zaidi

Imehaririwa na;- Unknown

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Newer Post
»
Previous
Older Post