Maboresho ya kiteknolojia kwenye miundo ya simu hasa ile michanganyiko ya kemikali zinazotumika kuunda betri, zinasemekana kusababisha betri kupata moto na kulipuka.
Mtu mmoja kwa jina la Kishan Yadav kutoka India, ameripotiwa kulipukiwa na simu yake ya iPhone 6 wakati alipokuwa akizungumza nayo.

Yadav alilipukiwa na simu hiyo ya iPhone 6 iliyotoa cheche za moto, baada ya kuzungumza nayo kwa muda mrefu.
Yadav alifahamisha kwamba simu hiyo ilimlipukia alipokuwa akizungumza ndani ya gari na kuirusha nje punde tu ilipoanza kuteketea.
Kampuni ya Apple iliyopokewa taarifa hizo, imechukuwa simu hiyo ya iPhone 6 kwa ajili ya ukaguzi, na kuamrisha maafisa wa usalama kuanzisha uchunguzi.
Mtu mmoja kwa jina la Kishan Yadav kutoka India, ameripotiwa kulipukiwa na simu yake ya iPhone 6 wakati alipokuwa akizungumza nayo.
Yadav alilipukiwa na simu hiyo ya iPhone 6 iliyotoa cheche za moto, baada ya kuzungumza nayo kwa muda mrefu.
Yadav alifahamisha kwamba simu hiyo ilimlipukia alipokuwa akizungumza ndani ya gari na kuirusha nje punde tu ilipoanza kuteketea.
Kampuni ya Apple iliyopokewa taarifa hizo, imechukuwa simu hiyo ya iPhone 6 kwa ajili ya ukaguzi, na kuamrisha maafisa wa usalama kuanzisha uchunguzi.