Header ads

Header ads

headlines

» » » Hii ndiyo Ndoa ya aina yake iliyofungwa Hospitali Nchini Zambia

image
Hii Imetokea mjini Lusaka Zambia, kijana ambaye alikuwa aliyepata ajali ya barabarani na kupoteza mguu wake mmoja,  Ameamua kufunga Ndoa mchumba  katika Hospitali ya Mafunzo ya Chuo Kikuu.

Suzyo Muzuri 28 na Diniwe Bowa 27 Wanandoa hao waliamua kufunga ndoa Hospitali, Uku wakifungishwa ndoa na Askofu Andrew Mwenda  wa kanisa la Betheli Christian Center katika Kata ya 11 katika UTH. wanandoa kubadilishana ndoa viapo mbele ya familia, marafiki zao wa karibu na wagonjwa waliokuwa hospitalini humo.
image

Imehaririwa na;- poatel Africa

Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
«
Next
Tazama Nafasi Mpya za AJIRA kutoka Jeshi la Polisi | Nimekuwekea Hapa
»
Previous
Unene wa kupindukia umekua ni moja ya matatizo yanayowasumbua wengi kiafya