
WaTanzania wenzangu nomba kuchukua nafasi hii kumpongeza dada yetu @ladivamillen ambaye amechanguliwa kwenda kuchukua BET Global Good Award kwenye tuzo za Mwaka huu za BET Awards Marekani. Ni category mpya ambayohaina mipaka na haina nominees kachaguliwa yeye kuwa anastahili kukabidhiwa tuzo hiyo. Lakini pia ni tuzo ya kwanza ya BET kwa Mtanzania.
Ni jambo la kujivunia. Mimi nimefurahi mnooooo alivyoanza kuzungumzia ugonjwa wake kama elimu kwa wengine watu walimbeza, wako walitaka kumkatisha tamaa ila sasa ona Mungu kamwinua katambuliwa kimataifa kwa kazi zake na dunia nzima tutam-salute pia. It's always about you and your God first. God bless you my sister @ladivamillen kwanza mzuri, una moyo mzuri, moyo wa dhahabu huna shida na mtu. You are a true Tanzanian Icon. More power to you. Mungu azidi kukuinua.
Nakupenda. Naomba tumpogeze dada @ladivamillen kwa heshima hii kubwa aliyopewa. Usengwile wanachama. ❤️❤️❤️#MwanamkeWaNguvu
Home
»
MATUKIO
» Millen Magese Kuwa Mtanzania wa Kwanza Kupata Tuzo ya BET, Ugonjwa Wake Wamfanya Ajulikane Dunia Nzima
Topics: MATUKIO
Imehaririwa na;- Unknown
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
THE UNITED DEPUBLIC OF TANZANIA MINISTRY OF HOME AFFAIRS EMPLOYMENT OPPORTUNITIES The Ministry of Home Affairs in clos...
-
Ingawa nipo Arusha,naendelea kudokezwa yanayochomoza vikaoni (ndani ya CCM) na katikati ya makada wa haja. Nimedokezwa kuwa CCM inaelekea ...
-
Wakati CCM ikifanya jitihada za kudhibiti makada wake wanaotajwa kuwania urais, Makamu wa Rais, Dk Mohamed Gharib Bilal amemtuma waziri ...
-
Ubuyu kama tulivyozoea wengine wanauweka rangi na sukari unatengenezwa vizuri tunafanya kula na kuna wengine ule unga wake hutengenezea...
-
Hivi karibuni mdau mmoja wa Website hii alinitumia e-mail na kuniuliza ni kwa jinsi gani anaweza kuipata simu yake iliyo...
-
Miaka miwili baada ya India kuzindua Nirbheek,bunduki inayodaiwa kuwa ya kwanza ya wanawake,kiwanda cha kutengeza silaha cha taifa hi...
-
Regional Manager. TANROADS - RUVUMA is looking for suitable qualified Tanzanian candidates for 11 posts available at Luhimba and...
-
The Benjamin William Mkapa HIV / AIDS Foundation (BMAF) is a Trust and not for profit organization with a vision to be a hub of in...
-
Kampuni ya Google imetambulika kuwa bidhaa yenye thamani zaidi kwa mujibu wa shirika la fedha la linalojihusisha na ukaguzi wa thamani ya...
-
The National Examinations Council of Tanzania (NECTA) is a Government Institution which is under the Ministry of Education and Vo...
Data Boosta