Diamond akiwa kwenye choo/bafu la ikulu yake kama anavyoiita. Dhahabu halisi zilizowekwa kwenye choo hicho zina thamani ya shilingi milioni 70
“In my 70Million Pure Gold plated toillet…pupping and Movies Lol!emoji..i can’t wait to play dirty game with her tonight emoji IN THE MAKING OF STATE HOUSE!!!.. I can’t wai for the State house to Be Done,” ameandika.
Staa huyo wa ‘Number One’ Jumapili hii aliamua kudhihirisha utajiri wake kwa kuonesha nyumba yake ya kifahari iliyopo Tegeta jijini Dar es Salaam. Nyumba hiyo anayoiita ‘state house’ na ambayo anasema ni yake 10 sasa, imepambwa kistaa.
Jiko
Katika picha nyingine, Diamond ameonesha gypsum kwenye chumba chake ambayo imeandikwa jina lake ‘Diamond Platnumz’.
“The view of my Custom made designer Gypsum Ceiling from my Bed,” ameandika.
Kwenye nyumba hiyo Diamond amesema kutakuwepo pia ukumbi wa kuchezea muziki, gym, studio, eneo la kuchezea darts na uwanja wa mpira wa kikapu.
“A year ago| Three weeks ago…. The Making of the State House!!!! My 10th House!..By the way Don’t get twisted, das jus a Pool area #Gym #Jaccuzi #Counter #DancingHall #Studio #DartsCourt #BasketballCourt Etc,” ameandika.
Home
»
MAISHA NA MAFANIKIO
» PICHA: TAZAMA NYUMBA YA 10 YA DIAMOND PLATINUMZ YENYE CHOO ZA DHAHABU,GYPSUM YA JINA LAKE, POOL , BAR YA MIL 70.
Topics: MAISHA NA MAFANIKIO
Imehaririwa na;- Unknown
Habari yako! Endelea kutembelea Tovuti ya TeknoTaarifa kwa Taarifa murwa za Teknolojia kutoka ndani na nje ya Tanzania, Tupo kwa ajili ya wapenzi wa Teknolojia.
Playstore
TeknoTaarifa Video
TAARIFA ZILIZOSOMWA SANA
-
Matumizi mabaya ya simu ambayo yamekuwa yakifanywa na watoto wao kwa ajili ya kufanikisha michongo isiyo na tija, kampuni moja ya te...
-
Teknolojia imetuondoa katika mazingira yaliyokuwa yakituzunguka na kutupeleka katika mazingira ambayo si halisi, tuna marafiki wengi w...
-
MATUKIO ya ukatili wa kutisha yanazidi kushika kasi kila kona ya nchi, safari hii h...
-
Mkurugenzi mkuu wa Facebook Mark Zuckerberg amenunua nyumba 4 kwa ajili ya kuzibomoa na kujenga upya katika eneo la Palo Alto lililok...
-
Inawezekana labda umesha-wahi kuisikia au kuiona ila kwa faida ya wale ambao hawajawai kuiona wala kuisikia ni kwamba computer stick ni...
-
TAKRIBAN watu milioni 30 nchini Tanzania wanatumia simu za viganjani na haiwezi kupita siku bila kuangalia vioo vya simu zao, iwe ni ku...
-
Katika semina hiyo, watumiaji wa hudumza za mawasiliano ikiwemo simu pamoja na vyombo vya habari ambao waliwakilisha makundi mbalimbali...
-
Dodoma . Serikali imeuchomoa muswada wa kuanzisha Mahakama ya Kadhi uliokuwa uwasilishwe bungeni ili yafanyike maridhiano kwanza. Wak...
-
Kutokana na ukuaji wa Teknolojia pamoja na kasi kubwa iliyopo Duniani kwenye soko la Ushindani na Ubunifu, kila siku tunaona ubunifu m...
-
Baadhi ya watendaji wa Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), pamoja na Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), ni miongoni mwa...
Data Boosta